Thursday, May 30, 2013

KINANA NA NAPE WAENDA "BEACH" ZIWA NYASA.

Katibu mkuu wa CCM Kinana na Nape Nnauye wakiwa ziarani mkoani njombe wamekagua ufukwe wa ziwa Nyasa katika mwambao wa ziwa hilo kwenye kijiji cha Lupingu, Wilayani Ludewa, na kuwambia wananchi wasihofu na maneno Malawi kuhusu ziwa hilo, Serikali ipo imara kuwalinda usiku na mchana.





No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...