Thursday, March 27, 2014

UJENZI BOMBA LA GESI KUKAMILIKA JULAI, 2014

Vongozi wa Timu ya Ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango, Prof. Longinus Rutasitara (Kushoto) na Bibi Florence Mwanri (Kulia) wakiangalia moja ya bomba la kusafirishia gesi. Bomba moja lina uzito wa tani tano na urefu wa mita 11. Mpaka sasa jumla ya kilomita 350 kati ya kilomita 492 zimeshatandazwa. 

Na Saidi Mkabakuli
Maendeleo ya ujenzi wa bomba la gesi kutoka Mtwara hadi Dar es Salaam unatarajiwa kukamilika mwishoni mwa mwezi Julai mwaka huu kufuatia kuendelea vyema kasi ya kundaza bomba hilo.
Wakizungumza na wakaguzi wa miradi ya maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango, Wahandisi wa Ujenzi kutoka Shirika la Mafuta Tanzania (TPDC), Mhandisi Mwita Yagela na Mhandisi Omary Kitiku wamesema kuwa kasi ya sasa ya ujenzi wa kiwanda cha kuchakata gesi kilichopo kijiji cha Madimba, mkoani Mtwara inatia moyo na hivyo kuashiria kukamilika kwa mchakato huo kwa wakati.
Mhandisi wa Ujenzi kutoka Shirika la Mafuta Tanzania (TPDC), Mhandisi Mwita Yagela (Kulia) akiwaonesha michoro ya ujenzi wa kiwanda cha kuchakata gesi Timu ya Ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango ilipotembelea eneo la ujenzi huo, Madimba, mkoani Mtwara. Wanaotazama ni wakaguzi hao, kutoka kushoto ni Prof. Longinus Rutasitara, Bibi Salome Kingdom, Bibi Florence Mwanri na Bw. Jordan Matonya.


SHORT-COURSES BY OSHA IN MWANZA.


Tuesday, March 25, 2014

SERIKALI YAVUNJA TUME YA MABADILIKO YA KATIBA.

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS

TANGAZO LA SERIKALI KUHUSU KUVUNJWA KWA TUME YA MABADILIKO YA KATIBA

Mhe. Rais aliunda Tume ya Mabadiliko ya Katika kwa mujibu wa kifungu cha 5 na 6 cha Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Sura ya 83 kwa Tangazo la Serikali Na.110 la Mwaka 2012. Tume ilikusanya maoni na kuandaa Rasimu ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambayo imewasilishwa kwenye Bunge Maalum. Kwa mujibu wa kifungu cha 31 cha Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Sura ya 3, Rais amepewa mamlaka ya kuvunja Tume ya Mabadiliko ya Katiba baada ya Rasimu ya Katiba kuwasilishwa Bungeni.

Mnamo tarehe 18 Machi, 2014 Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Jaji Joseph Sinde Warioba aliwasilisha Rasimu ya Katiba kwenye Bunge Maalum. Kutokana na hatua hiyo, na kwa mujibu wa kifungu cha 31 cha Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Rais wa Jamhuri ya Muungano alivunja rasmi Tume ya Mabadiliko ya Katiba tarehe 19 Machi,2014 kwa Tangazo la Serikali Na.81 la tarehe 21 Machi, 2014.

Hivyo kwa Tangazo hilo, shughuli zote za Tume ya Mabadiliko ya Katiba zimemalizika rasmi tarehe 19 Machi, 2014.

Imetolewa na;
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, 
Ikulu, Dar es Salaam.

25 Machi,2014

Monday, March 24, 2014

MVUA ZALETA MAAFA BUKOBA.

L
Usiku wa kuamkia leo mji wa Bukoba umepata mvua ya kutosha iliyosababisha migomba na mazao mengine kuharibika vibaya sana. Hali hii imesababisha hata na baadhi ya makazi kuhezuliwa. Camera yetu imetembelea kata ya Bakoba katika mitaa ya Bunena na kujionea hali ilivyo baada ya kuanguka migomba na wananchi wakiendelea kukata baadhi iliyoangukia mazao mengine na baadhi ya maeneo ya Kashenye.


ORODHA YA WATUMISHI WA AFYA WATAKAOFANYA MITIHANI YA KUJIENDELEZA – MWAKA 2014

BOFYA HAPA.

TANGAZO LA KAZI UTUMISHI (TANZANIA TEA BOARD) 21 MARCH 2014.

Friday, March 21, 2014

ROBO FAINALI YA UEFA, MAN U vs BAYERN.

QUARTER-FINALS-1/2 AND 8/9 APRIL


BarcelonaBarcelona(ESP)
v
AtléticoAtlético(ESP)

Real MadridReal Madrid(ESP)
v
DortmundDortmund(GER)

ParisParis(FRA)
v
ChelseaChelsea(ENG)

Man. UnitedMan. United(ENG)
v
BayernBayern(GER)

JOB VACANCY MANAGING DIRECTOR - TPDC.

SERIKALI KUFUFUA KIWANDA CHA MATAIRI CHA GENERAL TYRE.

Timu ya wakaguzi wa miradi ya maendeleo kutoka Tume ya Mipango wakitazama bidhaa zilizokuwa zikitengenezwa na kiwanda cha matairi cha General Tyre. Serikali ina mpango wa kufufua kiwanda hicho ambacho kilisimama uzalishaji tangu mwaka 2007.
Timu ya wakaguzi wa miradi wa maendeleo wakiangalia mitambo ya kiwanda cha matairi cha General Tyre jijini Arusha

Short Course in Traditional Medicine Development - MUHAS.

Thursday, March 20, 2014

NEEMA KWA WANAMTWARA, UWANJA WA NDEGE KUBORESHWA.

Mmoja wa viongozi wa Timu Ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango, Bibi Florence Mwanri (aliyevaa fulana nyeusi) akihoji uimara wa sehemu ya kutulia ndege wakati walipofanya ziara ya kujionea maendeleo ya Uwanja wa Ndege wa Mtwara.
Katika kukabiliana na kasi ya maendeleo ya ukuaji wa uwekezaji katika maeneo ya viwanda vikubwa na biashara za huduma mkoani Mtwara, Serikali imesema kuwa kuna haja ya kuuimarisha Uwanja wa Ndege wa Mtwara ili kuongeza ufanisi katika utoaji wa huduma kwa watumiaji wa uwanja huo, hasa kufuatia kugundulika kwa gesi mkoani humo,
Hayo yamebainishwa mmoja wa viongozi wa timu ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango, Bibi Florence Mwanri  wakati ilipofanya ziara kwa ajili ya kujionea maendeleo ya uwanja wa huo.
Bibi Mwanri alisema kuwa Serikali inaendelea kufanya tathmini na mikakati mbalimbali itakayopelekea kuuimarisha uwanja wa ndege wa Mtwara ili kuweza kuhudumia uwekezaji mkubwa unaofanywa na makampuni mbali mbali ya ndani na nje ya nchi mkoani humo. Aliongeza:
“Tathmini ya awali inaonesha kuwa miradi mingi ipo mkoani Mtwara kufuatia kugundulika kwa gesi hivyo kuna haja ya dhati ya kuuimarisha uwanja wa ndege wa Mtwara kwa lengo la kutoa huduma za uhakika wakati huu wa mfumuko wa kiuchumi mkoani Mtwara,” alisema Bibi Mwanri.
Meneja wa Uwanja wa Ndege wa Mtwara, Mhandisi Mugasa Mlondo akitoa maelezo juu uimara na ubora wa uwanja wake wakati Timu ya Ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango ilipofanya ziara kwa ajili ya kujionea maendeleo ya uwanja huo.

NAFASI ZA KAZI UTUMISHI, DEADLINE APRILI, 04.

Wednesday, March 19, 2014

SCHOLARSHIP POSITION FOR TANZANIANS TENABLE BY RUSSIA GOVERNMENT, 2014.

MGOMO WA DALADALA WAZUA TAFRAN MOROGORO ASUBUHI YA LEO.

Watu wakiwa wamejaa barabara ya Kihonda - Mjini.
Hali ya usafiri kwa abiria wa Manispaa ya Morogoro wamekuwa katika wakati mgumu asubuhi ya leo baada ya Daladala kugoma kutoa huduma ya usafirishaji kutokana na sababu ambazo hazikufahamika mara moja. Lakini kutokana na maneno yaliyokuwa yanatolewa na baadhi ya watu waliokuwa kwenye daladala zilizokuwa zikipita zikiwa hazina abiria, wamesema kuwa wamechoshwa na kubambikiziwa makosa na maaskari wa usalama barabarani.
Abiria wakiwa kwenye pick up ambazo zilikuwa zinasafirisha kwa Tsh.500/= 

Tuesday, March 18, 2014

WIKI YA MAJI YAFANA MOROGORO.

Mgeni Rasmi Mstahiki Meya wa Manispaa ya Morogoro Mh.Amir Nondo 
Kila mwaka Wizara ya maji huadhimisha wiki ya maji nchini kote kuanzia tarehe 16-22, Machi. Katika kipindi hiki cha maadhimisho haya Mamlaka za maji nchini hufanya kazi mbali mbali ikiwa ni pamoja na kufanya mikutano na wadau wa maji,kusafisha mazingira, kuhamasisha wananchi katika kulinda na kutunza vyanzo vya maji, maadhimisho haya pia hulenga katika kuwaelimisha wananchi kuhusu sera ya taifa ya maji na mikakati yake ya utekelezaji.
Mkurugenzi mtendaji wa MORUWASA akimueleza Mh.Meya jinsi ya mto Mlali ulivyovamiwa na kuendelea kulima mdani ya mto.

Wednesday, March 12, 2014

INTERNATIONAL CONFERENCE ON CONTRACT FARMING IN AFRICA.

JOB VACANCY - UDSM.

JOB VACANCY - SUA.

The Management of Sokoine University of Agriculture (SUA) invites qualified Tanzanians to apply for positions for Tutorial Assistants (TA’s) (<35 yrs of age) and Assistant Lecturers (<45 years).

Applicants are advised to note that the minimum GPA of 3.8 or an average of B for unclassified degrees such as that of Veterinary and Medical graduates at undergraduate level applies for TA’s and 3.5 at BSc/BA level or equivalent (i.e. an average of B for Veterinary and Medical graduates) and a good Masters degree is applicable for those with postgraduate qualifications. Only registered Veterinarians will be considered for interviews.
The application should state the Department, Position and Discipline one is vying for. Applicants are advised to note that salary packages and fringe benefits shall be as per Treasury Registrar’s Salaries Circular No. 3 of 2013.

The deadline for submission of application letters indicating names and addresses of two referees, together with certified copies of certificates and transcripts, curriculum vitae shall be two weeks after the first advertisement. Only short listed applicants will be contacted for interview. Those who had applied for similar posts in the past are encouraged to apply.
Application letters to be sent to the undersigned.

Thursday, March 6, 2014

PROFESSOR TOLLY S.A. MBWETTE WINS THE AFRICAN ACHIEVERS AWARD.

KINACHOENDELEA DODOMA KATIKA KIBONZO.


ADVERTISEMENT FOR MSc. CC & SD - UDSM.

DISTANCE LEARNING –NTA LEVEL 6 IN CLINICAL MEDICINE.

CHINA SCHOLARSHIP - 2014.

JOB VACANCY - RUSUMO POWER COPANY..

BEI KIKOMO ZA MAFUTA AINA YA PETROLI KUANZIA JUMATANO, TAREHE 5 MACHI 2014.

JOB VACANCIES - EWURA.

Tuesday, March 4, 2014

JOB ADVERTISEMENT - TANESCO.

Principal Estate Development Engineer
Open Position:                         Principal Estate Development Engineer
Reporting Office:                      Head Office.
Reports To:                              Manager Estate - Projects         
Start Date:                                Two weeks after the initial advertisement.
 

Background – TANESCO             http://www.tanesco.com

The Tanzania Electric Supply Company (TANESCO) has recently been reorganized. Under new management, TANESCO will now focus on increasing the outreach and service quality of its Energy products for Tanzania people. Next to its current passion as a leading provider of electricity and to be more efficient customers focused utility for Tanzania and beyond. The Company has the largest electricity generation, transmission and distribution network in Tanzania. In order to reach its goals, the Company will, in the coming years invest heavily in its generation, transmission and distribution network, its business systems and human capital. TANESCO now invites a proactive, self-motivated, trustworthy, hardworking and committed individual to fill the under-mentioned position at Head office.
PRINCIPAL ESTATE DEVELOPMENT ENGINEER

POSITION OBJECTIVE

Waislam walaani kuchanwa kwa Koran Mauritania


Mamia ya waislam wamefanya maandamano katika mji mkuu wa wa Mauritania Nouakchott, baada ya kuenea kwa taarifa kuwa Koran imechanwa msikitini.
Imam ameripoti kuwa watu wanne waliokuwa wamefunika nyuso zao waliingia msikitini , wakachana nakala za Koran na kuzitupa chooni.

Mauritania ni taifa la kiislam , likiwa na idadi ndogo ya wakristo.Polisi walifyatua mabomu ya kutolea machozi kutawanya umati wa watu waliokuwa na jazba, na mtu mmoja aliuawa, duru za polisi zilieleza.
Imekuwa mshirika muhimu wa nchi za magharibi katika kampeni dhidi ya al-Qaeda na makundi mengine ya wanamgambo yanayoendesha harakati katika kanda hiyo .
Mwandishi wa habari Hamdi Mohamed El Hacen aliyeko mjini Nouakchott anasema waandamanaji walichoma vizuizi na maduka mengi na masoko yalifungwa jana siku nzima.
Mamia ya waandamanaji walikusanyika kati kati mwa mji mkuu na nje ya msikiti wakipaza sauti "Mungu ni mkuu" wakidai wahusika wakamatwe na kuhukumiwa kifo kwa madai ya kukufuru uislam, alisema.

Source: BBC

MASTERS AND PhD SCHOLARSHIPS SUA, MUHAS, GHANA AND UGANDA 2014.

Monday, March 3, 2014

MABADILIKO YA USAILI WA MKOA WA MOROGORO

Usaili wa ana kwa ana uliokuwa ufanyike Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro utafanyika Muslim University of Morogoro, Barabara kuu ya kwenda Dodoma tarehe 4 Machi 2014 saa moja asubuhi. Wasailiwa wanakumbushwa kufika na vyeti vyao halisi.
Source: Utumishi.

JOB VACANCIES HURBERT KAIRUKI MEMORIAL UNIVERSITY.

Vacancy advert for the position of DVCAC and Dean Faculty of Nursing

Hubert Kairuki Memorial University (HKMU), at Mikocheni, Dar es Salaam, is looking for a qualified and well experienced Tanzanians, to fill the following senior positions:
1. DEPUTY VICE CHANCELLOR ACADEMIC AFFAIRS (DVCAC)
Qualifications: Applicants must be in possession of a PhD degree or equivalent from an accredited University,  and an academic rank of at least Associate Professor;  excellent record of academic leadership in teaching, research, and publication;  outstanding record of experience in providing community service; and tested integrity with management experience in academic institutions.  He/she must have at least 5 years of senior academic leadership experience in universities.

SHORT COURSE - MZUMBE UNIVERSITY.

SCHOLARSHIPS IN CHINA, EGYPT AND BOLOGNA UNIVERSITY 2014.



LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...